Psalms 18:40-42


40 aUliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,
nami nikawaangamiza adui zangu.

41 bWalipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;
walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.

42 cNiliwaponda kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo;
niliwamwaga nje kama tope barabarani.

Copyright information for SwhKC